Watanzania kweli tuna akili?

Utamu wa kiporo aujuae muonjaji:p:p:p:p

Achana na kiporo kwanza mbona simuoni ubavu wako au kaja kivingine?

Yupo ila hajawasha data

:):):)wahamiaji haramu tuko wengiii

Wakimbizi siyo wahamiaji haramu. Tumo Kambini Kenyatalk!

Sawa mkimbizi mwenzangu

Akili ni nini?

Kama mshana alishndwa kujibu swali ili unafikria nini zaidi

Hakushindwa kujibu ila asingeweza kujibu swali alilouliza yeye mwenyewe. Ni kama uko kwenye chumba cha mtihani mwalimu wa masuala ya bahari anakuuliza “Kaa ni nini?” eti na wewe unajibu “Kaa” ina maana tatu!

Kwani mshana aliuliza akili ni nini?

Lazma huyo mtaalam wa masuala ya baharini nimuulize anaposema kaa ana maana gani?

Kwahyo hapo ntajibu kuwa kaa ni nini…
Suala la akili alitakiwa aeleze akili ni nini… Au maana yake akili

Ni kweli ndio mwenyewe!

Hata picha ilikushinda?

Hauvumi lakini umooo

:p:p:p:p:p:p:p:p Hata wewe ulipoongeza neno Babu nilidhani ni mwingine maana Bibi alianza kukutafuta toka siku nyingi ukiwa huonekani

Kuna bwege moja limejiunga na ID ya Asprin. Nadhani lilikuwa linataka kunichukulia michuchu yangu. Nimelitandika mkwala naona limepotea. Ikabidi nije kwa mtindo huu baada ya kufanya maombi mlimani

Aisee
Watu wanazingua sana wanakuja na ID za watu humu halafu wanazitumia vibaya sana, nilipoona umeongeza hilo neno nikawa najiuliza kulikoni maana Bibi wakati anakutafuta alitaja ID yako ya siku zote.

Basi haina ubaya kikubwa umejitofautisha na huyo fake

Hehehehe nadhani naye aliingia chaka. Kama alijibebisha huko PM ishakula kwake mazima

:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p

Eti Bibi @Sky Eclat huyo mtu alifika hadi PM?

Akijibu unitag tafadhali…

Usijali

Hubby michuchu ni mingapi humu?