Unashughulikia tangu lini??
Aah…imekua tena una mhold ia brief
Cheza chini.Wacha kuniaibisha mbele ya wazee.
Maza sab ryna hajambo?
Asanteni Wakenya kutukaribisha! Ila jifunzeni zaidi, kiswahili chenu kibovu sana
Asanten
Tumeshafika…shukran
Nimepita nasoma comments zao, nabaki nacheka tu.
Asante sana
Hawa jamaa kiswahili chao ni zero kwa kuongea na hata kuandika