Oh my!
Kwani NEMA hawa ku exempt fridge za handas??hii saa nitakua naiwacha kwa baze ama niku fungasha hadi kejani??
ni kushikishia base ukiekelea kwa meza ama unaisunda kwa bosho hadi kejani unaenda kuimwaga kwa carpet.hahaha
hii nayo haitaweza jo!kila mtu anajua umebaba jaba!?
sisi kama members wa hii squad tutaumia sana
:D:D:D:D:D @wildfrank tosha… Dumu zas :D:D:D
Baada ya Supreme Court kutupa case ya Babu nje, @Dereva atapata customers wa kununua the whole tree badala ya twigs, hizo mabati ni lethal kuliko African bullets.
…and the press…in field work.
[ATTACH=full]122612[/ATTACH]
[SIZE=13px][FONT=Trebuchet MS][INDENT][FONT=Georgia]lethal kuliko African bullets.:D:D:D:D[/FONT][/INDENT][/FONT][/SIZE]
ahaha noma!
eish
hakuna vile tuna weza andamana
itabidi sasa tuende street man
wacha uta cheki vile wata nyoa hizo jaba wakilia eti gharama ya fridge!sato nili nyolewa eti ooh hakuna mvua!!
noma sana.wanadai hakuna jaba …saa hii wataongeza story ya fridge.naona wakiibuy na waikule wenyewe jo
Mimi nawaza vile the cost of doing biz itaenda juu kwa sababu ya ban on poly na nyinyi matawi ndo inawasubua…
Good na usidanganywe upande water melons hapo as you wait for the shrubs to get tall. Zita kua slow Sana .
Huku ni mwea? Ama sides Za Karaba?
[ATTACH=full]122632[/ATTACH] N
he he…avai munduu kai ura-transplant karati?
Effects za Kula muguka jamaa aliona afanye harvest one time.