hahahahahaaaa
mmhh!sio rahisi braza game ya kwanza tuu russia wafungwe?labda km wangekuwa wanashindana kwa wingi wa visima vya mafuta:Dmtazamo tuuu
daah!wanavyotyuharibia lafudhi yetu ya kiswahili sina hamu.nimeingia kwenye forum yao nimecheka hadi bac
ENGLAND
BRAZIL
BELIGIUM
PORT
Tukutane nusu fainali.weka hata mke if possible
Ukimbizini huku hatuko wote, wapi @pdidy aisee??
Aise JF imeondoka na madini mengi kwelikweli…
Mwanajangwani mwenzangu ushafika na weye?
Hahahaaa. Lol.
Tunahamisha mengine huku Mtani. Ila siamini aiseee mbali na kipigo tola kwa Gor umemfuata kwao aiseee.
Huogopi weye. Hahahahaaaaa.
Uuwiiii. Mtani hata kunita lol.
Brazil peke yake atapita kwenye list yako
Nishatia kambi huku tangu March bana
Jiwe bana:p:p:p:p:p:p:p:p:p
Anatufundisha kuwa wakimbizi sijui atasaidiana na nani kujenga nchi ya viwanda
Nilikumis
Hahahaaa. Nami pia Mwanajangwani mwenzangu.
Wadogo zangu hao ndio walinitonya kwamba kuna kijiwe kipya huku.
Embu walete kina mbalizi
Hahahaa. Sawa wako njiani.
Daah wazee wa mizigo hatimae tumezamia ukimbizini
habari za huku wadau wenzangu jukwaa letu limerudi naona
wangefanya kuturudishia thread zetu humu na tea tuka login kwa kutumia id za mwanzon ingekua poa sana