Sketch ya iyo moto basi:D:D:D
Nisalamu tu boss,[SIZE=1]mimi sijauliza useme hiyo hekaya:D[/SIZE]
hekaya on point pewa mbiri kwa bill yangu
Hata mimi nangoja hizo stills
Hehe …
Hio ngojea nitaleta hekaya yake soon
Alijibamba pia so hapo makosa ili cancel out.
Alielewa hii ni stage in life and besides me kufeel Nekesa was a move in the right direction than kupatikana nafuata Waweru
When you say make tatu Toyotas,Nissans and Tatas come to mind. A better word would be brands. And when you threaten tusidai hekaya,‘kahora mwarimu niwola muno’ rings in my mind…
:D:D:D:Dkush yule “mbochTarians”
Buda boss sio kwa ubaya lakini expand the equation.
Kush hii imeweza ka kush za gilo:D:D
Gachui wekea elders hekaya ama urudishwe sv.
kwenda huko…si kwanza ulete moja ya zile 132 umekuwa ukiahidi kijiji na hazikuji…
hahahahaha
SMH, hata sisemi kitu afande
Hapa ndo umenimaliza buda boss.:D:D:D
SWAFIII
Hapa ndo umenimaliza buda boss.:D:D:D
SWAFIII