Intresting
Usha
usha msoma kumbee.
Usha
usha msoma kumbee.
Karibu
tumekusoma mzee wa msata
Amen
Kwa hio Story za uchawi hku hautupi
Hahaha… Hivi yako ya Bongo ni ipi?
Hahaha
This could be Mwanyasi…! Right?
Ni mimi kaka… Inshallah ipo siku tutarudi kwetu
The sun is going down to Chiolu
Tatizo hata kukaa kimya hakutoi guarantee ya kuwa utakuwa salama. Shetani hasubiri hadi umchokoze; mambo ya kishetani ndie asili yake. Hata wote tukikaa kimya ataanza kufanya ushetani kwa kuwa hakuna kelele za kumshangilia.
Hata tukimshangilia wote atatafuta mtu amtwange kwa kuwa anashangilia vibaya. And the list of trivial excuses to get someone hurt will go on. It is his satanic nature.
He won’t stop; he needs stopping.
Ngoja nipashe githeri cjui hii kitu vile mnaita maana huku mahali baridi kale nasikiaga ukinyea kwa kambi utarudi kuzoa mwenyewe usiamini kila jambo hili nalo nasikiaga
Huyu kwenye picha anaonekana kama Mshana jnr wa jf kabisa
Hahahaaa
Inshaallah Mkuu
Ha haa haaa mkuu naona unaufahamu mwandiko