Kwan me nimesema naumwa
Ushemej had huku tena??? Shemejio kwa yupi??? Mekuja baada ya gharika kuu ya tcra hahahah
Kweli Hapo …
Na jinsi vile kile Tendo huja na Mziki wake asli mahanjam na wa kipekee…!!
Kuna dawa aina mbalimbali…kama vaccine vile sio lazima uumwe.
Mimi mtu mzima…! Nimekuelewa tayari.
. Anyway unapenda music gani?
Si ndio hapo hata huo mziki hutausikia ulipoanza wala utakapoishia
Hahahhaha ile ya taratiibu usingiz unakuja ukisikiliza
Naaam…
Shabash…!!
Me dawa natumia nikiumwa
Mimi napenda acappella ya latin american music…!
Ile ni balaa yaani!
Hahaha
Me hata siitambui
Si mbaya kujifunza styro mpya. Mbona hunyiti hizi vitu. Mjulubeng ni dawa.
Le madam bhana!
Utaijua tuu if you are interested.
Mwomboko.
And hiyo ndio point kuu siko interested tuu na hiyo aina ya music
Lugha gongana baba mjulubeng hiki ni nini
Uko tu interested na mjulubeng.
Ni dawa.
Alright…
Stick on what you love.