hehehe…
hehehe…
nice finish.
atleast ulibakishia anko slice hukubeba the whole bread
:D:D:D:D… good hekaya
Kush uko juu
Sijui nikupe title gani
buda nimefuata hekaya zako na sheng yako ni ya bafo sana.
Kwanza ile hekaya ya vile ndula zako ziligoswa.
Unajichochanga na hauna mawe ya kupea mtu title . Hebu pea @mabenda4 tuamini we ndio title disher
Ponyi…we used to use that back in 1972 when Buruu was still part of the park.
Nice kekaya though…
No
Tictator keti palee - - - - - - - - - - >
[ATTACH=full]36997[/ATTACH]
Kush bado yuko very single. The joke is on uncle Thio
Ngui
Ona mwingine the last time nilisikia Io jina ata cjui ni when.
Buda kenye naeza sema ni “old is gold” . Sasa nikiandika za 2016 akina @Ka-Buda na village fossils wanaeza shindwa ku.follow hekaya.
Eh!!! na hapa si watu ni Wasencha.
@Kush, yaani wewe apana tambua uncle? N yet Uncle ni kama daddy yako?
This is a new high… kwa kijiji.
enda ukatayarishe TBT wacha maneno ya kuahidi watu title hazifiki…
kanono hiyo heka iko juu sana…
TBT is ready, waiting for time ifike.
Mambo ya title gojea uone
hehehe…
BABA , NIRUSHIE MOMO CHAIRMAN
Mheshimiwa kush kanono hiyo hekaya nidiambo
Kanono ulitembeaje hiyo distance yote from boma to nyakio to club to kichinjio to boma, na bado ukapata nguvu ya kukamua