Hajar
21
Kama mie kaka. Na hatutakaa tujutie.
Kabisa yaani mpaka mwisho Yanga nipo
Bi Hindu fc wanaendeshwa na akili za Manara kwa kuwaona Mbumbumbu
Yanga afrika timu ya dunia
Yaani unaweza simama na kusema maneno hayo? Simba zaidi ya kukinga mikono kwa MO Dewji mna chanzo gani cha mapato?