:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
Nitaanza hivyo
Kama safcom wako area hama tu
Using Safaricom 10mbps, been getting 1.8MBps on torrents at night…
[ATTACH=full]87002[/ATTACH]
250mbps hiyo ni noma, its perfect for apartment blocks guess that is their target!
Hii ni site gani ya kucheki speed
hiyo ya safaricom inaitwa nn?
Ni ile vuma@home
Utamu wa zuku ni higher speeds over 10 mbps since huwa na low subscription(bandwidth)
10 mbps yao ndiyo inalipishwa 3500?
hata ya Safcom
Lakini coverage ya safcom fibre iko somehow limited ama?
walianza late.
Ile service yao najua ni ile ya Nyayo.
Zuku’s introduction of higher speed is something to be applauded.[ATTACH=full]87019[/ATTACH] [ATTACH=full]87019[/ATTACH] [ATTACH=full]87020[/ATTACH] [ATTACH=full]87020[/ATTACH] However i still think there is a catch. Bei zitapanda soon. No complains as of now though. My speeds seem to be ridiculously insane
Yep chini ya maji (net pekee yenye hawatangazi).Triple play yao huanzia 15mbps ya 4799
Vaa helmet. Nimeweka target for Hii Tuliona Forces…
[ATTACH=full]87023[/ATTACH]
Bei hazitapanda, saf is offering 10mbs for 3500, msee kama mimi I will just switch wakifika hii mtaa coz. speeds za saf. ni assured na uptime ya saf. ni better kuliko ya zuku then I pocket the 1k. Streaming 1080p only requires 5mbps, so sioni vile increasing my speed from 15 to 20mbps makes my life better.