Wakenya wanapenda ngono zaidi
Kukulana is their business , company haifai kuingilia
Standard Media walipe watu mishahara zao. Hawana pesa za kununua condoms wajameni.
KTN wanashindwa aje kulia mishahara. Company ya Moi na Gideon vile ako na pesa mingi alizoachiwa na bababe MWIZI MOI?
both headlines apply. newspapers can change headlines depending on the regions they are selling
The company is not generating income due to the proliferation of social media, so watu wapambane na hali zao.
You dont expect Gedion Moi aende kutafuta pesa from their proxy and offshore accounts to save this sinking ship in the name of paying salaries and statutory deductions. . Remember the brother filed for Bankruptcy and the same week alikuwa amenunua TV ya almost 300k.
Learn a thing or two from these brothers on how to hide ill gotten wealth.
300K tv ni cheap buana. Moi alihepesha mbesha mingi sana. Na watoi wake wana doo kama upuss but wanakapitia bado juu pesa ya umma haiwezi wasaidia
Baba yao gakuwafunza kuiba ana financial literacy
300k to a media station like standard group is little money. hiyo hata kuna news anchor hio pesa haitoshi mshahara yao.
Clearly you did not understand that statement. Read it again slowly
Weuh wakenya sida ni gani sasa? Na walijuaje kuna outbreak?
Nawait nipatane na journalist wa standard tuna bargain Kwa corridor ya calabash
They published my face image as a meme pale dec ya 2017 against my will. Hawakunilipa kitu, wakwende sana na kaswende yao
Obviously fake news. Infection ya syphilis is painless. If it was gonorrhoea, that would be more plausible.
KTN Kaswende Transmission Network
Al-capone died of syphilis