24 Hours of Le Mans

It’s a week from now, what car are you betting on to survive the 24 hour gruel?

https://www.youtube.com/watch?v=4GXLwFo2Zxo

Listen to these engines

https://www.youtube.com/watch?v=qsDoax8qUVM

Uliona Isle Of Man TT. The last remaining unadulterated race on earth. So far wamenyuria wawili this year.

Thought they were 3 who’ve died, Alan Boner is no more after his crash, Jochem Hoeck and Lambert pia waliaga

Si tuchukue probox ama zile pickup za miraa, I’m sure hizo zitawezana na uzito ya Le Mans alafu tuweke crayon bandit @introfart akuwe pit crew?

Weh manze, siwes endesha piki piki zaidi ya 90km/h na watu huko wanachapa 300+. Hao ni triple ballers

Alafu ziwekwe exhaust inatoa moto kwa Probox :D:D:D

Unapewa kifikifi kama hio uende na 90? If you are going to die, at least die happy at 300 kph… So long as ni instant death

Msee Isle of TT naeza lipa kuenda. Kwanza vile hakunaga track ni barabara…pure bliss. The 1st casualty hii mwaka aliakua the 1st to get flagged off. Huko Baba ochi pia anafaa kuenda kutest skills zake.

Engineer wa baiskeli mwitu ugly face toa umefiii hapa, chieth in my eyes

you don’t even feel the pain manze. Esp kama ni Ducati ama Aprilia uko sure italipuka itoke moto . Bitter sweet kmda situation. Japanese Crotch Rockets are the biggest windowmakers .

@Jazzman @introvert @alphagroup Gari gani unaona ikitoboa?

Think anaacha ameambia bibi I might not be back, at 300kph on an open road is flirting with death

Upuuuuuuusss

Will Toyota stay the time and not ferk up the last lap. We are tired of porsche ruling le mans off late. Last year It was too emotional to see the Toyota limping to the finish line. What of Nissan Btw…will their tech investment so far payoff?

You are flirting with men here!!!

Team Toyota. sipendi monopoly

Ford wameongezewa weight and throttled their turbo boost for this year, think Audi are out for this year, so Porsche might take it

Tactical prowess I give to Toyota and Porsche. It’ll be tough . Cant rule out ford…last year they tried. anyhu…me money on Toyota

Wueeh.
Labogin yangu ya 78 at least imeonja hii Le Mans.

Isle of Man TT is pure evil. Pikipiki inaruka kwa hewa kama jet ya Saitan.

Birrionaire next year unaonaje uende Isle of Man. wewe ndio unaeza afford Yzf R1 Na kupea tune msuuuri. ama wewe ni team crazy suzuki. nitakubebea tool box.