Arsenali leo tunakamua mtu na machungu yote. Rumour has it that mzito Sanchez ako ndani ndani.
2 Likes
Game ni saa ngapi?
Leo lazima nyoka ikamuliwe ama ikamuane
6.00
1 Like
Tena unatag hiyo nyang’au na hiyo kiherehere yake utaiona hapa sahii.
3 Likes
Saa hii hauwezi kuiona hapa, iko katikati ya mapaja ya momo.
4 Likes
Let’s wait. Hapa naona draw
hii ninaona Liverpool waki wasumbua.
Arsenali wakishindwa leo Wenger atembeze kiatu.
2 Likes
Link?
haya iyo gg ikuom
Nsha stake. Kwa wale wanajua 2nd HSH odd ni 2 weka rent na utacheka after second 45 minutes
Ha ha, hii ka uniform ya Arsenal kako down, kwani ni half overalls?
Huyu wenger naye nini inamsumbua anawacha Lacazette bench anaanzisha welbeck mauzo.
Hapo kwa ‘uniform’ fits you perfectly. Keep it up…
Pace papaa…
NGITEEEEE! Firmino amezoea Cech sasa…
1 Like
Whatever… kituuuuuuuuu iko ndani.
ai kale kateam ka europa hakana bahati.