Tunawashukuru ndugu zetu kwa kutuhifadhi kwa muda ila bado tunatafutana tupo wengi mno; kama mnavyojua ngalawa ikipata dhoruba abiria kila mmoja na lwake; mwenye boya haya; mwenye bakuli haya; mwenye dumu haya; mwenye life jacket sawa ili mradi tu kuokoa maisha yake.
Tunawashukuru. Ngoja nitafute ndugu zangu akina Mshana; Mwifwa; Pasco; kina Mzizi mkavu na wengine wengi. pia lile jukwaa letu la mambo ya wakubwa duh sijui itakuwaje.
Hata hivyo tumefundishwa ukikaribishwa kwa mtu don’t ask for more - mwenyeji wako atakuchoka fasta.
Tunawashukuru ndugu zetu kwa kutuhifadhi kwa muda ila bado tunafutana tupo wengi mno; kama mnavyojua ngalawa ikipata dhoruba abiria kila mmoja na lwake; mwenye boya haya; mwenye bakuli haya; mwenye dumu haya; mwenye life jacket sawa ili mradi tu kuokoa maisha yake.
Tunawashukuru. Ngoja nitafute ndugu zangu akina Mshana; Mwifwa; Pasco kima Mzizi mkavu; pia lile jukwaa letu la mambo ya wakubwa duh sijui itakuwaje.
[/QUOTE
Hawajui nguvu ya Tech; huwezi zuia hata mwanao kutopata info kwenye mitandao eti kisa ataharibika; yaani hata kama umemzaa mwenyewe utakuwa unapoteza muda. Utakuwa baba mjinga saana.
Kaka si unajua sheria za kulala sebureni, wa mwisho kulala, hadi wenyeji wamalize kuangalia tamthiliya; then wa kwanza kuamka kabla hawajaanza kudeki; maisha ya ugenini yanahitaji uvumilivu mkuu