Blue Handles kujeni Kitoko

When traveling kuna kaumama Mimi huona, mnapewa thirty minutes ku-shake it after use Na kukula if you don’t have a sensitive stomach. And then unaona Ndume iko Na ndevu Kila mahali inabeba chips ama crips kuja Kula kwa gari. Tabia kama hizo za kimama wanaume wanatoa wapi?

napenda chips na bhajia sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mwanaume nikupima nyama…na Tusker mbili ukingoja kaive.

  1. Nimeona jamaa alikuwa chips Na sausage? Wakati wanaume wanaitisha Ugali mboga ya kienyeji (managu) Na boiled goat. Badala ya hizo bhajia si kheri

Kabisa Bana, huyu ango anatuangusha Sana.

thirty minutes choma itakuwa ready saa ngapi ?

Kama ni hivyo hiyo safari ikae.

Zinapatikana ango, choma ni mingi unachagua ile inakupendeza

Jaribu hiyo kwa public uone ukiacha nyama na kukojolea gari, never beer while traveling, swaga makali haswa konyagi kama mbaya

chakula ya barabara is a no, no mpaka tufike.

Kuna time nili travel from Nairobi To Mombasa To DareSalam To Makambako. During that period all I was eating was biscuits na sodas. Alafu now you go anywhere with friends unaskia ndume inawika “aki naskia njaa”. Hapo ndio you shout in Edward Norton’s ‘primal fear’ voice “quit your crying you little sissy you make me sick” :smiley:

Umama ni kujali Kenya MTU anadishi kwani unatafuta mikia za wanaume…budget na tumbo ni yake …ya kuhusu nini vile amejipanga
[ATTACH=full]143716[/ATTACH]

Years back nilipanda mololine from nakuru but hatukua hata tumefika 58 from mungine akaanza kula mayai boil…driver parked kando ya njia and politely asked dude to get out and finish his eggs kwanza

Why was driver offended?

[QUOTE="MadPhilosopher, post: 1382302, member: 26681 “quit your crying you little sissy you make me sick” :D[/QUOTE]

:D:D:D:D, unajua story zako zinaborder ‘outer limits’.

Lazima mkule on transit?

Must have been pregnant.

Nilitoka Eldoret 11am lunch lazima Nakuru.

:D:D:D:D

hii uchinka ya kukula kwa gari ya uma ilitoka wapi?