Habari hii Imfikie Mshana jr.

Salaam!.

Najua ndugu zangu tupo hapa Ugenini, japo hatujajua ni kwa muda tu kisha tutarudi nyumbani au ndio tutakuwa hapa daima.

Nimejaribu kutafuta wataalam wa tiba asili, mambo yakichawi, na mada moto moto za aina hiyo lakini sijawapata kwa hapa Kenya japo kwa tuliotoka pale mjini Jf Tanzania tulikuwa na mtaalamu wetu wa mambo hayo Bw.Mshana Jr.

Najua taarifa za kwamba wenzie tupo huku anazo ila labda anasubiri kuona watu kama watamuulizia na kuhitaji uwepo wake ndipo aamue kuja, sasa kwa andiko hili kama kuna mtu yupo nae karibu basi amwambie tumeanza kumuulizia huku aje haraka, msaidizi wake Mimi wa kilinge sina nguvu sana kwenye uchawi.

Wastueni na wadau wengine.

Mme wangu @Cage clay unahitajika hukuu alafu nahisi umeniroga huku kenyatalk sionekani kabisa punguza huo urogiii utanigeuza msukuleew

@Cage clay aka kalumanzila msaidie mtoto

@Cage clay anakuambia huku diaspora anasoma falaki tu.

Nyumbani ni nyumbani hata kama ni kichakani

Huu ufadhili ugenini sio mbaya japo na mis nyumbanii jamani. Tuwashtue na wengine waje

@Cage clay umuje mara hiyo hiyo

Watakuja Taratibu

:D:D:D:D:D

Hahahaaa nipo full chaji

Yule mzee anamazingaraza unaweza shangaa saa tisa na nusu anaibuka hapa

Sasa nina uhakika hakuna wa kunidhuru huku ugenini

By your side sweeerrrr kama chup na naniliuamich yuu

On live location

Kama itampendeza nae atakua miongoni mwetu…! Kwani mtu yule ana maarifa yaliyo mengi na yafaayo!!!

nilikuja ila kutokana na sababu zisizozuilika nikatoroka kambini ghafla ila nimerejea tena.

Ugenini shida sana,nimekutana na Jeff Koinange sijui hata ni mitaa gani ya hapa Nai. Hakuna City Guide humu!?

Daaah hii sijui ndo Rudi nyumbani kumenoga au tokomea ugenini kumenoga

Ugenini kuna ka utulivu flani

Karibuni nyumbani Kisumu