Naivas haikutajwa lakini birrionaire ashafungulia media mpaka processing plant. Hii base inakaa ilisuguliwa properly before media ifike. Na ikaongezwa equipment mpya, naona vitu nyingi zina-shine hapo ni kama mpya. Na kila mtu akapewa overalls na boots mpya. Kitu funny ni ati hata sai with all that media glare kuna watu bado wanakamata nyama hivyo tu while others have gloves on. Maybe they're thoroughly disinfected, who knows?
Niliona comments section ya FB page ya Capirro yenye walitangaza hii "inspekshen", watu wanalia vile walisokotwa na tumbo after kula nyama ya Naivas. Wengine wanasema, "I didn't need any evidence to know Naivas was involved. Kuna siku nilikula packed food ya huko nikaendesha kwelikweli."
Fake middro crass, inakaa mnapigwa vita from all corners. Kuna siku tulieka expose ya coocoo ya magunyo, sai ni nyama. What next banaa?
Niliona comments section ya FB page ya Capirro yenye walitangaza hii "inspekshen", watu wanalia vile walisokotwa na tumbo after kula nyama ya Naivas. Wengine wanasema, "I didn't need any evidence to know Naivas was involved. Kuna siku nilikula packed food ya huko nikaendesha kwelikweli."
Fake middro crass, inakaa mnapigwa vita from all corners. Kuna siku tulieka expose ya coocoo ya magunyo, sai ni nyama. What next banaa?