Benki ya Dunia imeonesha dhamira ya kuisaidia Tanzania katika ujenzi wa Reli ya Kiwango cha Kimataifa(SGR) kutoka Isaka kwenda Rusumo na baadae Kigali Hayo yalisemwa na Waziri wa Fedha Dkt.Philip IMpango wakati wa majadiliano na wataalamu wa Benki ya Dunia
[ATTACH=full]167257[/ATTACH]
Ujumbe wa Tanzania (kulia) na ujumbe wa Benki ya Dunia (kushoto) wakiwa katika majadiliano ya miradi ya maendelea inayotarajiwa kuanza kutekelezwa mwaka ujao wa fedha.
Yaani bado mnaomba pesa hadi leo? Tangu 2016?! Yaani hamjawai anza hii project? Why not just abandon this adventure, I mean do you guys really need an sgr anyway?
Huu ndio ujinga wako sasa…umeulizwa maswali unarudi na majibu ya kitoto. If you cannot engage in mature responses just get back to your local kijiwe and discuss simba yanga issues
Hakuna ndege iliyokamatwa ndege zote zilizobaki zinafika mwezi wa saba. Acha mchecheto tunakuja kwa kasi.
[ul]
[li] CS 300 zipo mbili[/li][li]boeing 787-8 dreamliner ipo moja[/li][/ul]
I thought wivu is showing an envious resentment of someone or their achievements, possessions, or perceived advantages…that said what have you guys achieved that we havent for us kenyans to resent.On the contrary you guys suffer from that kafeeling…kenyans wish you all well though no one gets far by comparing themselves to others.