Ukisikia kauli hii ugenini huwa unajisikiaje.?

Habari zenu wakuu? Kuna hii kauli upo ugenini halafu unasikia wenyeji kuna kitu hawakioni halafu wanasema kauli hizi “Humu ndani hakijawai potea kitu” au “Hapa kwetu hakujawai ibiwa chochote” halafu mkuu wewe ndio una siku tatu tu na mgeni ni peke yako.

Imeshawai kukutokea hii na ulijisikiaje?

Dah soo

Iliwahi nitokea Mkuu, Hiyo ilikuwa ni asubuhi zilipotea pesa tsh laki sita lakini mpaka kufika saa 12
Zikaonekana. Siku iliyofuata nikaaga ingawa nilipanga kukaa mwezi mmoja tu. Siku 6 zilinitosha.

na kuna wengne wanasubr mgen aje ili wapige tukio ili wapone kupitia kivuli cha mgen, kuna baadh ya binadam wanazungukwa na bahat mbaya tu maishan

Mie niliwahi kuishi nyumba moja na warembo kadhaa. mmojawapo alikuwa na ndoa. huyu mwenye ndoa siku moja anaoga akavua pete akaweka juu ya madumu ya maji yangu(alivyodai).mie nimerudi late nite nikamimina maji yangu nikaoga. Asubuhi yake ilikuwa weekend nimeamka saa nne hivi nikakutana na swali kama jana nilivyokuwa namimina maji niliona pete…dah afu mrembo mmoja akachombeza lakini hapa vitu huwa havipotei…mzee nilikuwa kama nna siku kadhaa khaaaa…

hahaa au ile mtu kaingia chooni unaskia " jaman nan huyu tena mbona hii tabia ya kunya juu haikuwepo" hahaaaa my friend hata kama ulikua unaangalia world cup ghafla mwenyeji akikuuliza nan kafunga goli utashangaa unapayuka TBC1.

:D:D:D haki ya mungu ume ni maliza

hahaaa mimi mtaani kwetu wananita comedy

Na furahi kupitia ma comments za wa Tz humu kimya kimya nakumbuka enzi zangu nikiwa chuo kikuu kuna mitaa inaitwa Karen huku Nairobi kuna university imejaa wa Tz utadhani upo bongo.

Utajihisi vibaya sana,ila utafanyaje inabidi tu uvumilie…

NIMECHEKA KWA SAUTI

Dah!!!

Au ile mwenyeji anaguna mmh na kusema mbona chakula chote kimeisha nani huyo anakula sana mbona zaman hapakua hivi

Duh! Hadi msosi hii sasa ni balaa.

Mambo vipi villager?

hahahaaaa yaan ww akili zako sio sawa

pouwa friend… za siku

Noma sana mkuu

Life is a series of events

:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p