Machakos pia ni place poa sana
Kiambu town si me huskia ni ushago? That by 7pm the town is deserted!
Lakini surrounding areas like Kirigiti have some nice houses. And it is only 30 mins from CBD. Also other places in the county like Kahawa Sukari, Juja, Ruaka, etc
:D:D
Kiambu wezi ni wengi naskia hata mansions za huko wasee wali abandon juu usiku mathegi wanaingia daily na si tafadhali
Wakora wengi wako kiambu county ile pande ya Kamakis. I went to visit a friend of mine there nyumba mzima ni mlango ya chuma. Hadi mlango ya kuingia choo
hii nayo uliskia kwa vijana Wa Gaza ama wapi?
Boss hizi story ni fact hata magazeti yaechapisha haya maneno.
@Ice_Cube ingia archives ya standard group uletee hizi ngombe za jubilee facts
be specific Kiambu wapi makende ya Khalwale
I donβt exchange words with uncircumcised short NVs like you .
Ukipita na hio barabara ya kutoka kiambu kwenda ruiru, utapata nyumba nyingi sana abandoned because of thieves.
Hehehehe stop exaggerating boss. Ni moja tu
You are a thug. Unachocha watu warudi ndio uwaibie tena? My Neiba anatoka hizo sides. Yeye huenda ushago asubuhi na kurudi jioni.
So you got that info from your neighbour? Uliambiwa tu lakini hujawahi jionea? Lol
And he is reporting that will all the confidence.
Tuko huku Nyanza kwa vishindo. Some of us tunajua hizi places kuliko locals.
Hehe Kiambu na wizi inajulikana hata msijaribu kuitetea.
How is Banana these days? Kuna time masos wa huko walikuwa wameingizia sana.
Vijana walijua risasi si ndengu, kuko poa kabisa