I hear they normally use Doom spray under the door or through the vents and then u swatch like a log… they can even break into your house, cart all furniture na hutawaskia
kama hata nguruwe na umashetani yake wanachinja na huwezi sikia ,kuna watu wrong number
Dakitari saidia hapa na ka explanation na usisahau mbicha ata kama ni ka sketch.
wacha ujinga
hii si njaa ni ulafi
Doom kwani mtu ni kuku?
Those slaughterhouse guys are experts I say, I watched as the tore apart a 400kg cow in like 30minutes, they skin it so fast walai!
Pole lakini ndugu @aviator (ama Ni Dada?)
wah! mtu wangu itabidi uongeze hawa workers mshahara sasa, kuna mtu hasira zime-boil over
NI KISHEMALE
Huko western aki kuna superstition…
The best thing ni kulisha mbwa kama unafanya farming ya mifugo…the dog really barks at night especially if there is any suspicious noise in the compound…so even the thieves cannot get all this time to slaughter your animals…even the kiihu/squirrel haiwezi karibia kuku…
mrs mureithi, hata hizo zingine watarudia usipochunga, wezi hivi hivi huwa wanazifanya boneless,lakini hao inaonekana walizilete burma market wakazipeana na bei ya kuondokea.pole lakini
Iza mujamaa @aviator though am kinda confused about mara wewe kuwa mrs mureithi mara kawamboi. Tangaza msimamo
Pole boss.
Where can I get fierce dogs like the ones that attacked a watchie?
Their puppies go for between 20k to 30K each call this number 0721344872
Man izea joh
pole mzeyya
uweke dogii myt help
pole boss
malipo ni hapa duniani…
life goes on