JAMIIFORUMS INATIA HURUMA.

Sisi hatuogopi CCM wala Magufuli, hata Facebook na Twitter tutawaambia ukweli tu. Yeye na huyo baasha wake Kagame hawawezi kuwa hapo walipo milele. NyambNyambafff zao.

Itarejea punde…

Cc: @Mahondaw

na ikuje tu love

Bado ni mwanakijiji tu, ngoja nifanye mpango, kuna mambo yetu yaleee? hahahah

Nishafika @Shunie na nishakuwa mwanakijiji mzoefu eti hahaha

Hahahaaaa Vyuma Vimekaza Kweli Mkuu…Viashiria vya vyuma kukaza ni vingi sana.