Je ni kweli kuwa Jf Tanzania mpaka sasa hawajui hatma yao ni nini?

Teh teh teh alafu mwishoni anakwambia tuweke siasa kado sababu kichwa kinanigonga.

Kila nikiwaza anaefaa bado, viongozi wenyewe ndio hawa wanahonga…

Nimeendelezea mistari tu

:D:D:D Ndugu inabidi tufanye mpango ukarecord aise.

Hahahah!!!

Teh teh teh tena producer mkali bongo nzima lazima wakae tu.

Mr T. Touch atafaa sana au Marco Chali

Ndiyo hvyo na ukirudi nyuma unaweza kuta ulipo tupo.

Tuandalie producer mkalii.

Duke touchez ndyo anaweza naona hahahaha

Duke touchez ndyo anaweza naona hahahaha

Hahah

Kua na subira mambo yatakaa sawa…

Cc: @Mahondaw

Sawa mkuu Yakiwa sawa usishangae na wananchi nao wasiwe sawa kwa uoga.

Hahaha!!

teh teh teh Kamakawa itakua vyema sana aise.

Producer wakali wapo wengi Ndugu kama Mnjwahuki,Duke,palla etc.

Mule mule mkuu

ha ha ha ha ha ha mkuu chawa ndo akina nani?

[FONT=courier new]Team ’ [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Eagle Wing House ’ jirani na zilipokuwa zamani Ofisi za Multi Choice Tanzania. [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Naomba niishie hapa tafadhali.[/FONT]

Ingekua enz za p fank majan,man water
Hapa wala hata usngehitaj Kik ya hamorapa
Haa haa ha

Hahah!! Noma sana mzeiya, vipi lakini?