Nimeweka Bandiko Langu Limetolewa Mara Moja
Samahani wakuu…nikifungua JF wanaleta ujumbe kuwa “No Forums”
Inakuwaje kwa sisi tuliopo nje ya nchi? Je, wameweka vigezo vipya vya uanachama?
Sawa jirani
Huku tuko salama sana, binafsi siondoki
Nakojoa um um nakojo ummmm nakojoaaaaaaaaaa!
Mie ndiyo nimefika huku Mkuu. Tabia ya jumbe zangu kufutwa au nilichoandika kubadilishwa hadi kupoteza maana ya kile nilichokiandika. Ukimbizini raha Mkuu mie nimeanza kufuatilia taratibu za kuchukua uraia LoL! Hahahahaha.
Na hapo hujamkandi Mr. Stone
Wana wivu kama mwanamke aliyerithiwa baada ya kufiwa na mumewe.hahahahahaha (mambo ya mila potofu) hahahaha
Yote kwa yote mimi na wenzangu tunakushukuru kwa jinsi ulivyotujali.
Vipi ile ID kule JF ya @The Tweet ni yako au mmefananisha majina?
Hahahaaa. Umeonaeeee.
Ila nimecheka lol.
Mie jana nilirudi nyumbani ghafla nikapata dhahama ya BAN eti nimemsifia modetaror wa KENYA TALK hahahahha. Ila sijui tumelogwa na nani sie jamani
hahahaahhahah, walikuwa na hamu ya kulima watu BAN
:D:D:D:Dbaki huku huku
Ni Ya Kwangu Mkuu
Oh! Pole sana ukimbizini bomba sana wanadai WHERE WE DARE TO TALK OPENLY lakini wakati huo huo watu wakifanya hivyo WANANUNA!
Ukirudi hewani chochote utakachoandika kitume kwa MODS kwanza kupitia PM upate APPROVE ili kupata baraka zao na hivyo ujiepushe na BAN nyingine
Hivi unajua nilishangaa sana kuwashwa BAN eti kisa nimemsifia mods wa kenyatalk. hahahahahahah. Haki ya nani nchi ile imeoza kila nyanja, yani kila mtu kwenye nafasi yake ni kambale!!!
:eek::eek::eek::eek::oops::oops::oops::rolleyes::rolleyes::rolleyes:o_Oo_Oo_O
karibu sie ndo wenyeji wako bak1
utumwa huo, tuendelee na raha zetu huku