Weseng***** wamechoma nyumba wanayoiishi tamaa za madaraka bwana.
Ndio uzuri wa teknolojia…kuna yule lofa wa bao la mkono walitaka kumtoa roho huko Twitter, akija hapa namimi naweza kumvurumishia nyanya mbovu.
naona wapo tayari!
Waendelee tu kupambana na teknolojia, tutawadai viwanda walivyotuahidi muda ukifika
Karibu sana mkuu, nafurahi kuwaona mkija na ID zenu za JF kuliko na wale wanaokuja kwa kubadili ID zao
magu oyeeee
:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p
hiv hakuna mashehe tumsomee huuyu punda albadir… asanteni sana ndugu zetu wakenya japo hii website nayo inaweza kupigwa loc huku Tanzania
Ataweza kweli hapa?
Walau tupoze machungu ya kufungiwa JF yetu
Daaah
Arosto inapungua
Kweli kabisa
Anaweza kuiblock isipatikate .
Yani huyu jamaa anawatajitisha wakenya.
Kenge kabisa
Mk
Mkuu nafurahi kukuona tena
Na mimi nafurahi kukuona japo umeacha ID yako ya JF
ID za zamani zinavutia bado tunakua hatujapotezana
Hapana mkuu hihi ndio nilikua naitumia
Jamiiforums wangeleta zile mada zote huku
Sawa Mkuu
Hiyo ni mali mdio maana wanafight ili wairejeshe hewani, hawawezi kuzileta huku
Kweli Mkuu