Wamezingua sana aisee
Hahaha
Oyeee TZ
Unalako wewe ukimchukia magu jua wewe ni shetani
Sio kwa muda, looks like you are here to stay.
Refugees waitwa kwa kiswahili?
Sisi sio refugees(wakimbizi)
Internet Refugees, thats what you are, wakimbizi wa mtandao
Mbwa tu yule.
hahaa ku
[QUOTE=“Ndio walewale, post: 1649859, member: 36017”]
Swali ni je, wangapi watahamia huku ‘‘ofisi ndogo ya chama’’ ?
[/QUOTE
hahaa kumbe huku ni ofis ndogo[/QUOTE]
Huku tunaingia kwa akaunti gani??
Ya kule au humu??
… WAKENYA NI NDUGU ZETU!
… ha haaaa haaaa!.. kwani umeingiaje mkuu?
Wajua hata humu nimo, sasa sijui hata niko kwa akaunti gani yaani Mkuu
Oh, hii ni ya huku huku nimegundua sasa,
Maana ya kule haina Mr.
JF in KENYA :)
Inapendeza sana
First to repply
Kule kwetu unakuaga wa kwanza, huku Ukimbizini naona imekua hola Mkuu:):)
Hahaha
ni shida huku mkuu