[ATTACH=full]42759[/ATTACH] [ATTACH=full]42759[/ATTACH]
hapo sawa
Kama unataka kufikisha threshold saa hii unafaa kua umeshawekelea tatu, alafu mbili kabla ya midnight, kamoja kitu saa tisa na nusu usiku na hako kabaridi kanafanyanga inashika sana, alafu moja ya saa mbili asubuhi kabla ya Chai. Ni hayo tu
lakini asifwate mwoman kuenda kitchen kupika chai kama mwingine alafu ashindwe kuwasha gas
Nice Kitenge outfit
:D:D:D:D:D Precision timing.:D:D:D
Saa mbili na kesho nikuamka kabla alfajiri sacco ifunguliwe
hii nyoka kama si mkale sijui…ebu confirm @Dicarlo mambo smarta msee
Hii nyoka ni kama naijua. :rolleyes:
Tuma hii kienyeji huko telegram
:D:D
mwoman akipika chai anafaa kua anamimina njugu pole pole na sim sim kwa kiti ama kitanda while scratching his balls, he may just surpass the threshold
Zanikumbusha mikono ya Nef, would drive guys here crazy
Rule no2 ya fisi,import unatoa kwa nyumba kabla jua ichomoke.
valisha uyo mwoman pete
Mpatie pesa aende salon apakwe cutex
Kumbe sio mimi pekeyangu nimeona hii maneno.
Urembo wa dame ni well kept and manicured nails.
Ni hayo tu kwa sasa.