karibu Swahiba.
Bakini na sisi tu watawafata wenyewee
Sizoomki mimi
Hahaha
Wacha kabisaaa
:p:p:p:p:p:p
mimi ninaogopaga kichapo tuu.Maana hawa wanawake wa Kenya kwa kichapo hawajambo.
Jf ikirudi muendelee pia kuwatafuta hao mabinti wa kikenya
Sijaona Kenyans hapa
ya JF yamehamia huku
Punguza tamaa mkuu
Nimefurahi kukuona tena…
Mie pia Mtani. Natumai ubukheri wa afya.
Ha ha haaaa… Villager tuliza ball
Eti @Mwifwa hukuni village elder. Mimi hiyo tittle wala siitaki maana ni kama ile wakenya walimpa yule aliyetufukuza nchini
@Shiroe @Female Perspective @Georgie Makena @Phylgee @Purple @Purr_27 @Mwikalilet hawa ni madem Wa Kenya babkubwa aiseeee
@Shiroe uko wapi rafiki yangu
Nipo;)
Ndio mkuu, kuna hadi Villager sponsor
Za kutwa…
? Sielewi