Nairobi to Addis Ababa by public transport.

Thanks man. This is very informative.
How are the roads from Mayole to Addis mtu akiamua roadtrip? [SIZE=1]fielder [/SIZE][SIZE=4]inaweza a[/SIZE]ma lazima uwe na offroad vehicle?
Are RHD vehicles allowed? What are the interesting points along the way?

Unalipa na kupewa receipt .

Boss exchange rate ya birr saa hi ni 28 .5 ,safari from moyale Ethiopian to adis siku hizi ni one day 774 kms in two days kwa lami?

Inbox me ukitaka kutembea huku .

Okay, roads ziko poa sana. From Moyale to Addis ni almost 800 km na the only murram road nilikutana nayo ni a 100 km stretch, the other 700 km ni tarmac kwa hivyo barabara iko sawa. The only thing sijui ni kama unaeza enda na personal car na procedure ya kufuata. Unaeza enda Ethiopian embassy watakuambia. Niliwahi enda huko kuulizia procedure flani, iko hio njia ya statehouse.

Naona vitu zinaendelea kubadilika huko. Hio ni sawa

Ni kujibonga huko. Lakini ni warembo my friend. Hata wakikuambia pesa ngapi najua utatoa, lakini sijui ni doh ngapi but kila price huko ni almost sawa na Kenya. Mimi kufinya hawa kunguru hiyo niliwachanga, saa hii mimi ni baba ya mtu mani, hehe.

Thanks for the explanation, I will get more info…Thinking of doing something different with the family hii Dec without breaking the bank. Tuzunguke huko kaa 10 days.

Kuja na gari kwa customs moyale Kenya na original logbook itafanyiwa verification hio tu no big deal.

yo buda

!!?