Naomba kwa yoyote aliye na Business proposal ya kuanzisha kiwanda kidogo cha kukamua Alzeti anisaidie maana hali inazidi kuwa mbaya. Nimejaribu kupambana na hali yangu lakini naona dalili zote za kushindwa katika maisha haya, na katika pita pita zangu nikakutana na mtu akaniambia nije na proposal ili aone jinsi ya kuokoa jahazi.
Ndiyo asili yetu watanzania ndugu, pesa mbele bila kujua kwamba unaweza kumsaidia mtu halafu in return ukafaidika zaidi ya pesa uliyokuwa umetanguliza mbele