Wadau najongea hapa nikitafuta demu wa kikenya tuanzishe familia umri wangu miaka 27
Asalam
hahahahahahahahahaha
Leta pesa nikupatie mmoja
Niaje mkimbizi… bado unawapiga saba pale corner?
Elekea wilaya zilizo na Wakamba kwa wingi na utarudi na mke siku ya kwanza.
Nilipata mmoja anatoka kitui kila muda anataka utamu anyway tumetengeneza raia wa taifa jipya Tanzake.
Niko Chato kwa sasa kumsindikiza shujaa wetu JPM
Poleni ndugu zetu.
Asante sana japo tunasheherekea maisha yake maana alikua kiongozi bora kwa nchi yetu.
Tuseme ukweli. Kama si ukaidi wake Magufuli bado angekuwa hai. Corona ipo mpende msipende.
Kaka Blaza , Swali Moja Tuu …
Utaweza huu Mzigo …??? :D:D:D
[ATTACH=full]427970[/ATTACH]
Mhh
Mzigo mzito huo
enda nairobi mkahawa wa sabina joy utapata wengi