Hakuna unalolijua kuhusu Mavoko wewe mtoa mada
tuambie wewe unalolijua, vinginevyo utakuwa shoga mkuu.
Baada ya Superstar Richmavoko kutoonekana kwa kipindi kirefu katika camera za WCB, na kutotoa nyimbo mpya kwa mda mrefu, Tetesi za chinichini kutoka kwa watu wao wa karibu inasemekana Rich mavoko na Bosi wake Diamond Platnumz kwa sasa wamevurugana
Tetesi zaidi zinadai kwamba Mgogoro uliazia wakati Diamond akihitaji Rich Mavoko ampe nyimbo yake ya Rudi aliyomshirikisha Patoranking lakini inasemekana kuwa Rich mavoko alikataa kumpa Diamond Platnumz hiyo Nyimbo, ndipo Vuguvugu la kutoelewana likaanzia hapo
Inasemekana baada ya Mavoko kukataa kumpa Diamond nyimbo ya rudi ili aiimbe yeye, ndipo Mavoko Akaanza kutengwa kimya kimya
Dalili zilianza kujionyesha pale Crew nzima ya WCB ikiachia nyimbo mpya kila baada ya mwezi , lakini mavoko hajatoa kazi mpya kwa mda mrefu hadi mashabiki wakaanza kumshambulia kwa maneno makali kwenye Account zake za Instagram na Twitter bila kujua nini kinaendelea, hata kwenye events na show za WCB Rich mavoko hakuonekana kwa kipindi kirefu, hadi sasa Mavoko haonekani kwenye events yoyote ya WCB
[ATTACH=full]180277[/ATTACH]
We mzee ni mbishi sana kila thread humu unajifanya mjuaji mfyuuu
Nashangaa anajifanya mjuaji
Rafiki hebu nipe darasa kwa hz entertainment za bongo,binafsi ni zero kbs
usikute hi thread nayo ni kiki…!
Mda utaongea mana hata kwenye tangazo lao la rearity tv yao mavoco hayupo
innaa
June 28, 2018, 6:57pm
33
Kichwakichafu:
Akikujibu nitag
teh teeh nmefurah kukuona humu
Mimi je,
Haujafurahi kuniona jamani??
innaa
June 28, 2018, 7:01pm
36
:D:D:D:D:Dnmefurahi pia karibu villager
Ahsante my elder in this Village
Aisee! Pole yake
Nalog off
Baada ya Superstar Richmavoko kutoonekana kwa kipindi kirefu katika camera za WCB, na kutotoa nyimbo mpya kwa mda mrefu, Tetesi za chinichini kutoka kwa watu wao wa karibu inasemekana Rich mavoko na Bosi wake Diamond Platnumz kwa sasa wamevurugana
Tetesi zaidi zinadai kwamba Mgogoro uliazia wakati Diamond akihitaji Rich Mavoko ampe nyimbo yake ya Rudi aliyomshirikisha Patoranking lakini inasemekana kuwa Rich mavoko alikataa kumpa Diamond Platnumz hiyo Nyimbo, ndipo Vuguvugu la kutoelewana likaanzia hapo
Inasemekana baada ya Mavoko kukataa kumpa Diamond nyimbo ya rudi ili aiimbe yeye, ndipo Mavoko Akaanza kutengwa kimya kimya
Dalili zilianza kujionyesha pale Crew nzima ya WCB ikiachia nyimbo mpya kila baada ya mwezi , lakini mavoko hajatoa kazi mpya kwa mda mrefu hadi mashabiki wakaanza kumshambulia kwa maneno makali kwenye Account zake za Instagram na Twitter bila kujua nini kinaendelea, hata kwenye events na show za WCB Rich mavoko hakuonekana kwa kipindi kirefu, hadi sasa Mavoko haonekani kwenye events yoyote ya WCB
Uzushi huu,wa kishamba sana,unasema Rich hoenekan kweny event yoyote ya WCB ile show ya Idd pale Dar live ilikuwa ya Shemeji yako? ile uzinduzi wa Nyumba ya Imani ilikuwa ya Mama ako? matukio yote hayo ni very recent na Mavoko alikuwepo…wimbo wa Rudi Diamond ameplay part kubwa kuchangia mawazo yake na pia kaonekana kwenye video how come,jipange upya dogo na kwa taarifa yako tu Mavoko ashamaliza kushoot ngoma yake wiki hii,stay tuned dada yangu mzigo unakuja halafu Mpee Pole Bosi wako Ruge twamtakie afya njema…
CHUGA
June 29, 2018, 4:48am
40
U
Uzushi huu,wa kishamba sana,unasema Rich hoenekan kweny event yoyote ya WCB ile show ya Idd pale Dar live ilikuwa ya Shemeji yako? ile uzinduzi wa Nyumba ya Imani ilikuwa ya Mama ako? matukio yote hayo ni very recent na Mavoko alikuwepo…wimbo wa Rudi Diamond ameplay part kubwa kuchangia mawazo yake na pia kaonekana kwenye video how come,jipange upya dogo na kwa taarifa yako tu Mavoko ashamaliza kushoot ngoma yake wiki hii,stay tuned dada yangu mzigo unakuja halafu Mpee Pole Bosi wako Ruge twamtakie afya njema…
UmeMaliza Mkuu,yani watu wapi kama fisi kuzuia mkono wa binadamu uanguke autafune.Na bado sana mtabata tabu