STORI HII INAFUNZA
Mtoto mmoja alikua anakula embe ghafla akaona funza katika lile embe…
Kama nilivokwambia stori hii ina funza
Asanteni
STORI HII INAFUNZA
Mtoto mmoja alikua anakula embe ghafla akaona funza katika lile embe…
Kama nilivokwambia stori hii ina funza
Asanteni
Bangi mbaya sana
Hmm! Kaazi kwelikweli…
Jamani si tangu mwanzo nimesema story ina funza?
Ndo mana serikali inakataza bangi
Kweli kabisa ila Jamaica wanatumia na haina shida mbona?
Nimecheka sana, big up mkuu
wewe una funza
Sijakusoma…
aiseeh
Hahaha!!! Noma sana