Karatina?
Bhai ni jamaa wa Karatina. Labda you are his neighbour
I come from a coffee growing region. Kwa Mountains. I used to spray the coffee for so long but I can’t recall the actual names for the chemicals. They were supplied by the sacco. But I havent interacted with for long. But ikikam ni sawa. But in my area people tend to die alot.
Ujinga wako ni kipawa ulichopewa.
Because of sticking to one sex partner or being faithful?
mnadhani cancer hudetectiwa instantly kama HIV test?
Haiya kweli kenya ni ndogo. Kwetu ni chini ya Karatina though
Ongea na yeye muende Oldoinyo
Hatujuani na yeye
Wait…how did you know I’m from that region?
Mwanda,Kangocho, kibirigwi, kibingoti?
Kibirigwi. Siz ameolewa Mwanda
Ok, mi ni wa jambo
Curio shop? That’s good. Unaishi huko?
Probably guys have resumed using a certain chemical ilikuwa imekataliwa na serikali.It was said to be very poisonus.Wenye walikuwa nayo hizo enzi walikuwa wanaificha kwa shamba.Can’t recall herbicide name
Roundup ama gramoxone? Kuna dawa uncle alikuwa anatumia bana ukifika 50m kwenye alianza weeds zishaanza kukauka
Hiyo ilikuwa ya kuua wadudu fulani walikuwa wanavamia kahawa.It was illegal to have it.I will find out and share the name
Poa. I understand Furadan was also banned.we used to poison birds for fun tukiwa watoto. A bird would die in a minute
Everybody dies,Cancer is just shit that happens to also kill
I think that is the name,Yes Furadan it was.