Mwanaharakati kama Mange awezeshwe ili itengenezwe kitu kama jamii forums ,iwe hosted hukohuko ili tujimwage madukuduku yetu vilivyo.Nimegundua Jiwe ni mwepesi sana kiasiasa!
Na tuseme Amina
Hakika mkuu jamaa mwepesi mno
wote waliomzunguka shetani ni mapoyoyo, hawewezi kufikiri mpaka huko
Ila mie nimefurahi tangu waraka wa Maaskofu wa TEC na KKKT hakuna Mtanzania aliyetekwa, kuokota mwili/miili au kupotea kwa miezi mitatu sasa. Hii inamaanisha huyo dhalimu na genge lake la wahuni na wauaji wanaojiita watu wasiojulikana wameufyata kwa kuhofia Watanzania na Viongozi wa dini hatutaendelea kukaa kimya kuhusu udhalimu wao wa kutisha dhidi ya Watanzania wasio na hatia yoyote ile.
Mrs
karibu Mr ugenini
uko kapumzika kahamia kutufunga midomo kwenye mitandao
Nmefurahi kukuona karibu tujumuike tena
Ahsante Mrs naona ushakua senior kabisa huku ugenini…
Happy Eid Mubarak mrs
haahahahaaaa kumbe we bado villager eeeh utapandishwa cheo soon chat sana sahv wasalimie ndugu jamaa na marafiki uliowamiss
Minalfaidhinaa
Huyu jiwe hawezi kushindana na tekinolojia
ameeeeen na ashindwe na kulegea
Anavyo mpenda ‘fent ford’ yupo tayari kukagua ujenzi wa choo cha kata
A complete wazzock
Siku zote lazima tuwe hatua moja mbele kwani Malaika Jiwe ni so obsessed na wanao mkosoa nadhani baada ya ujenzi wa barabara hakuna zaidi kinachomsumbua zaidi ya mitandao
Shukrani sana.
Wala haikuwa ukaguzi!!!ile ni cover up location ya kusemea aliyoyasema kwene ukaguzi uchwara!!
Mmhh nalo neno
Hahahaaa kitakachofata ni kuzuia matumiz ya data au gharama za matumiz ya internet kuwa juu
Akuchunge mbuzi kulee.ndo shida ya mshamba kutawala
Hapo hapo anawapiga mkwala eti wasiruhusu wanasiasa wawasemeee.hivi yeye alienda pale kama kadhi mkuu au kama muhashamu.jiweeeeee