Acha uongo wewe wa ushuani
Za Masaki?
Hahaaaa huko uzunguni nakusikiaga mimi.
Mie wa uswahilini ugali miguu ya kuku
Masaki ipi hahahaaa
Hahhahaha vizuri nimekutana na wa uswazi mwenzangu nilijua nipo peke angu nitakosa wa kupiga nae story zetu za uswazi
Lete story tu usihofu hahahaa
[quote=“Sweetleee, post:26, topic:163501”]
Lete story tu usihofu hahahaa
[/QUOTEnje
Hapa nje kwangu wanauza miguu na utumbo na vichwa najiandaa kutoka nikale ujue kuishi uswahilini raha sana[/QUOTE]
Kwani ukisema ukweli kuna nini?
Kijijini ni ushuani au uswazi? Maana nimeishi bukililo
Hahahaa unibakizie
Unavijua kwanza sio nikubakishie halafu utupe
Navijua Babe
Nitakuongezea na utumbo
Uniwekee na firigisi
Hahaha sio vya kuuliza hivyo na chips za mafungu
Niwekee mafungu matatu nipo njiani naja
Woooooooooozeeeeeer zilivyo tamu sasa chipsi vumbi pilipili iwekwe eenh
Hahaaaaa.
Hivi nilikuuliza kama mlienda kwenye ile offer ya Don mbona hukunijibu?
Sijaona bana uliniuliza wapi jamani ila tulikutana ile jumapili na jf ikazima siku hiyo tuko wote tunalewa tulikukumbuka yaani acha tu
Jamaniiii JF imenikatili mlikuwa na kina nani?