Tulikuwa na @Mzigua90 @Raynavero yani tunataka kuingia jf by saa sita hakuna kitu ebu tumuite @Don Clericuzio tumuulize offer yetu vipiiii
Hahahhah hakunywa ilikuwa mwezi mtukutufu hiyo sio ya Don ilikuwa ya kwetu si unakumbuka ukasema hautakuwa mjini au umejisahaulisha
Oooh sasa lini tena?
Niko Moro next week naja
Woooooooooooozeeeeeerrrrrr
Jamani mimi nimeokoka, labda tukutane niwahubirie ukuu wa Bwana.
shikamoo don
Eti kaokoka jamani
Yaani hatari hii!asijali atakunywa Juice na mimi
Uswahilini kila kitu kipo.
Kijijini ni Uswazi na ushuani
Unakumbuka tulivyopanic jamani. Walitukatili sana
Aseme tu sisi tuko
Wewe huyo??
Hahahhahahahhaha
Hahahahhahahha
Hahhaaha nakumbuka kila mtu anashika simu yake haamini