Wakuu,
Kiukweli mimi nikimiss kugegedwa huwa namwambia mume wangu.
Kama yupo job namtumia vi SMS vya kumpandisha mzuka.
Hata tukiwa home namwambia beb nimemiss unavyoni…
Nashauri wanawake wengine wakitaka kufurahia utamu wawe wanawaanza waume wao.
Jamani wanawake sio lazima kila siku mumeo akuanze…na wewe jiongeze…
Doncute
@Doncute ambao hatujaoa tuna pata tabu sana na izi Mada zako tata apa gegedo tayari liko Ndindiiiiiii
Mtapata tabu sana…ha ha haaa…
Oa mkuu…
Tatizo binadamu ni wabishi sana…
Cc: @Mahondaw
mi hua niombi hua naingiza mkono kwenye box nafanya yangu utaona tu anaanza kugunaguna anajua tu huyu anataka mechi
Mjr95
June 26, 2018, 9:05pm
9
Mawazo mgando kabisa, empty set kabisa
Doncute:
Wakuu,
Kiukweli mimi nikimiss kugegedwa huwa namwambia mume wangu.
Kama yupo job namtumia vi SMS vya kumpandisha mzuka.
Hata tukiwa home namwambia beb nimemiss unavyoni…
Nashauri wanawake wengine wakitaka kufurahia utamu wawe wanawaanza waume wao.
Jamani wanawake sio lazima kila siku mumeo akuanze…na wewe jiongeze…
Doncute
Doncute:
Wakuu,
Kiukweli mimi nikimiss kugegedwa huwa namwambia mume wangu.
Kama yupo job namtumia vi SMS vya kumpandisha mzuka.
Hata tukiwa home namwambia beb nimemiss unavyoni…
Nashauri wanawake wengine wakitaka kufurahia utamu wawe wanawaanza waume wao.
Jamani wanawake sio lazima kila siku mumeo akuanze…na wewe jiongeze…
Doncute
Kumbe Umeolewa Nilikua Sijui Mie
nzur na inaongeza mapenzi sana!
Usser
June 27, 2018, 9:49am
13
Nliivona tu unasema una mume
Stim yote imekata
Hajar
June 27, 2018, 10:25am
14
Wacha weee. Hivyo tufunguke Sesten. Hahahaaaa.
Hajar
June 27, 2018, 10:39am
15
Mmh. Kwani wanaanzaga au ndio huwa inatokea tu wote mnahitaji?
Au kuanza huko ni kupi unakosemea mwaya.
Shunie
June 27, 2018, 11:33am
16
Mh inategemea bwana kuanza anaposema ni vile mm hamu imenishika nashindwa kumwambia mbebez mpaka aanze kunishika shika au aniambie anataka
Hmm!.. :oops::oops::oops:
ndokwanzaaa katikati ya wiki mweh!
slim5
June 27, 2018, 2:37pm
20
Kwani lazima useme kwa maneno “vocal symbols?” Si utumie viashira tu! Lugha ya picha inaeleweka wkt mwingine zaidi ya Maneno! Kwanza sisi -me tunaweza tusielewe lugha zote za kike, lkn ktk suala la kumpelekea moto -ke, hata kama tulielewa vibaya lugha ni mbele kwa mbele! Moto ni moto tu Muraaaah!