watiiizeedi..

Ni kweli its thought provoking and enjoyable kusikia mtu akitamka comfortably kwamba “ngari imeisha mbureki” Ahahaha

That is the lingo we use here.Otherwise in real life we don’t.Soma huu uzi hapa chini.
https://www.kenyatalk.com/index.php?threads/ktalk-lexicon.23435/

Si unipe summary tu mkuu. I can’t read the whole article now.

Hakuna shortcut.Soma yote.

Ahahaha!! Short cut is always a wrong way. Naenda kusoma now.

DU! nimeishia kucheka

Kitungu itafutww
[ATTACH=full]175669[/ATTACH]

[ATTACH=full]175670[/ATTACH]
[ATTACH=full]175671[/ATTACH]

Msijali wana-makufuli…mtajua hamjui. Ngojeeni Bingwa, Jirani, Lien na Wakanyama multi handos…

I love the new direction Ktalk is headed to, a new smell in here save for the few meffi threads.

PS: pitieni hapo sex na hekaya sekshen msafishe mecho na GMO na Kienyeji za Kenya.

Kaka umekuja huku kwa hawa jamaaa wa kiswahili sanifu??

aisee wewe jamaa

Nipo humu kwa miezi 3 sasa

Aisee mimi nimekuja juzi tu hapa jamaa yangu

Karibu sana mkuu tuendeleze yale yote ya nyumbani kabla tunasubiri hatima ya platform yetu

Hebu nipe updates kuhusu JF nimemsikia tu Nape akileta yake

Kwani Hawaleti Jik Ya Macho?

Kuna mdau aliwauliza JF kupitia ukurasa wao wa Insta, alijibiwa kuwa bado wanaendelea kutafuta suluhu, pia waligusia uwepo wa mashauri yao mawili yaliyobaki Mahakamani ambayo yanaweza kuchangia uchelewaji wa kupatikana suluhu.

Tuwe na subira tu

Bana. Wabongo ni ovyo sana. Hawataki kutusafisha mecho.

Yeah haina nouma mkuu

Tunawasafishaje macho kwa mfano???